1 Nya. 21:24 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme Daudi akamwambia Arauna, La, sivyo, lakini kweli nitazinunua kwa thamani yake kamili; kwani sitamtwalia BWANA kilicho chako, wala kutoa sadaka ya kuteketezwa isiyo na gharama.

1 Nya. 21

1 Nya. 21:21-29