44. Naye Shema akamzaa Rahamu, babaye Yorkeamu; na Rekemu akamzaa Shamai.
45. Na mwana wake Shamai alikuwa Maoni; na Maoni alikuwa babaye Bethsuri.
46. Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi.
47. Na wana wa Yadai; Regemu, na Yothamu, na Geshani, na Peleti, na Efa, na Shaafu.
48. Naye Maaka, suria yake Kalebu, akamzalia Sheberi, na Tirhana.