1 Nya. 2:28-31 Swahili Union Version (SUV)

28. Na wana wa Onamu walikuwa Shamai, na Yada; na wana wa Shamai; Nadabu, na Abishuri.

29. Na mkewe Abishuri aliitwa jina lake Abihaili; naye akamzalia Abani, na Molidi.

30. Na wana wa Nadabu; Seledi, na Apaimu; walakini Seledi alikufa hana watoto.

31. Na wana wa Apaimu; Ishi. Na wana wa Ishi; Sheshani. Na wana wa Sheshani; Alai.

1 Nya. 2