1 Nya. 2:10-16 Swahili Union Version (SUV)

10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;

11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;

12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;

13. na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;

14. na wa nne Nethaneli, na wa tano Radai;

15. na wa sita Ozemu, na wa saba Daudi;

16. na maumbu yao ni Seruya, na Abigaili. Na wana wa Seruya walikuwa, Abishai, na Yoabu, na Asaheli; hao watatu.

1 Nya. 2