1 Nya. 19:7 Swahili Union Version (SUV)

Basi wakajiajiria magari thelathini na mbili elfu, na mfalme wa Maaka na watu wake; nao walikuja wakatua mbele ya Medeba. Na wana wa Amoni wakakusanyika kutoka miji yao, wakaja vitani.

1 Nya. 19

1 Nya. 19:1-16