1 Nya. 19:16 Swahili Union Version (SUV)

Na Washami walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakapeleka wajumbe, wakawavuta Washami walioko ng’ambo ya Mto, na Shobaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri, akawaongoza.

1 Nya. 19

1 Nya. 19:12-19