1 Nya. 16:37 Swahili Union Version (SUV)

Basi akawaacha huko, mbele ya sanduku la agano la BWANA, Asafu na nduguze, ili watumike mbele ya sanduku daima, kila siku kama ilivyokuwa kazi yake.

1 Nya. 16

1 Nya. 16:28-43