1 Nya. 16:1 Swahili Union Version (SUV)

Wakaliingiza sanduku la Mungu, na kuliweka katikati ya hema aliyoipiga Daudi kwa ajili yake; wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Mungu.

1 Nya. 16

1 Nya. 16:1-2