1 Nya. 14:3-7 Swahili Union Version (SUV)

3. Tena Daudi akazidi kuoa wake huko Yerusalemu; akazidi Daudi kuzaa wana na binti.

4. Na haya ndiyo majina ya watoto aliozaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani;

5. na Ibhari, na Elishua, na Elpeleti;

6. na Noga, na Nefegi, na Yafia;

7. na Elishama, na Eliada, na Elifeleti.

1 Nya. 14