1 Nya. 14:11 Swahili Union Version (SUV)

Basi wakapanda mpaka Baal-perasimu, Daudi naye akawapiga huko; Daudi akasema, BWANA amewafurikia adui zangu kwa mkono wangu, kama mafuriko ya maji. Basi wakapaita mahali pale jina lake Baal-perasimu.

1 Nya. 14

1 Nya. 14:1-15