1 Nya. 12:9-13 Swahili Union Version (SUV)

9. Ezeri mkubwa wao, Obadia wa pili, Eliabu wa tatu;

10. Mishmana wa nne, Yeremia wa tano;

11. Atai wa sita, Elieli wa saba;

12. Yohana wa nane, Elzabadi wa kenda;

13. Yeremia wa kumi, Makbanai wa kumi na moja.

1 Nya. 12