39. Seleki Mwamoni, Naharai Mbeorothi, mchukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;
40. Ira Mwithri, Garebu Mwithri;
41. Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai;
42. Adina mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, na thelathini pamoja naye;
43. Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithni;