1 Nya. 11:39-43 Swahili Union Version (SUV)

39. Seleki Mwamoni, Naharai Mbeorothi, mchukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira Mwithri, Garebu Mwithri;

41. Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai;

42. Adina mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, na thelathini pamoja naye;

43. Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithni;

1 Nya. 11