1 Nya. 11:38-47 Swahili Union Version (SUV)

38. Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri;

39. Seleki Mwamoni, Naharai Mbeorothi, mchukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira Mwithri, Garebu Mwithri;

41. Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai;

42. Adina mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, na thelathini pamoja naye;

43. Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithni;

44. Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri;

45. Yediaeli mwana wa Shimri, na Yoha nduguye, Muzi;

46. Elieli Mmahawi, na Yeribai, na Yoshavia, wana wa Elnaamu, na Ithma Mmoabi;

47. Elieli, na Obedi, na Yaasieli Mmesobai.

1 Nya. 11