1 Nya. 11:31-46 Swahili Union Version (SUV)

31. Itai mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, Benaya Mpirathoni;

32. Hurai wa vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni;

34. wana wa Yasheni Mgiloni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;

35. Ahiamu mwana wa Sharari Mharari, Elifeleti mwana wa Ahasbai; Heferi

36. Mmaakathi, Ahia Mpeloni;

37. Hezro Mkarmeli, Paarai mwana wa Ezbai Mwarki;

38. Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri;

39. Seleki Mwamoni, Naharai Mbeorothi, mchukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira Mwithri, Garebu Mwithri;

41. Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai;

42. Adina mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, na thelathini pamoja naye;

43. Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithni;

44. Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri;

45. Yediaeli mwana wa Shimri, na Yoha nduguye, Muzi;

46. Elieli Mmahawi, na Yeribai, na Yoshavia, wana wa Elnaamu, na Ithma Mmoabi;

1 Nya. 11