1 Nya. 11:28-40 Swahili Union Version (SUV)

28. Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, Benaya Mpirathoni;

32. Hurai wa vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni;

34. wana wa Yasheni Mgiloni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;

35. Ahiamu mwana wa Sharari Mharari, Elifeleti mwana wa Ahasbai; Heferi

36. Mmaakathi, Ahia Mpeloni;

37. Hezro Mkarmeli, Paarai mwana wa Ezbai Mwarki;

38. Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri;

39. Seleki Mwamoni, Naharai Mbeorothi, mchukua silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira Mwithri, Garebu Mwithri;

1 Nya. 11