26. Tena hawa ndio mashujaa wa majeshi ya askari; Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu;
27. Shama Mharodi, Helesi Mpeloni;
28. Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;
29. Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;
30. Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;
31. Itai mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, Benaya Mpirathoni;
32. Hurai wa vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;