1 Nya. 11:26-32 Swahili Union Version (SUV)

26. Tena hawa ndio mashujaa wa majeshi ya askari; Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu;

27. Shama Mharodi, Helesi Mpeloni;

28. Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, Benaya Mpirathoni;

32. Hurai wa vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

1 Nya. 11