1 Nya. 11:24-36 Swahili Union Version (SUV)

24. Mambo hayo ndiyo aliyoyafanya Benaya, mwana wa Yehoyada, akawa na jina kati ya wale mashujaa watatu.

25. Tazama, alikuwa mwenye heshima kuliko wale thelathini, ila hakudiriki kuwamo katika wale watatu; naye Daudi akamweka juu ya walinzi wake.

26. Tena hawa ndio mashujaa wa majeshi ya askari; Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu;

27. Shama Mharodi, Helesi Mpeloni;

28. Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, Benaya Mpirathoni;

32. Hurai wa vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni;

34. wana wa Yasheni Mgiloni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;

35. Ahiamu mwana wa Sharari Mharari, Elifeleti mwana wa Ahasbai; Heferi

36. Mmaakathi, Ahia Mpeloni;

1 Nya. 11