24. Mambo hayo ndiyo aliyoyafanya Benaya, mwana wa Yehoyada, akawa na jina kati ya wale mashujaa watatu.
25. Tazama, alikuwa mwenye heshima kuliko wale thelathini, ila hakudiriki kuwamo katika wale watatu; naye Daudi akamweka juu ya walinzi wake.
26. Tena hawa ndio mashujaa wa majeshi ya askari; Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu;
27. Shama Mharodi, Helesi Mpeloni;
28. Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;
29. Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;
30. Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;
31. Itai mwana wa Ribai wa Gibea wa wana wa Benyamini, Benaya Mpirathoni;
32. Hurai wa vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;
33. Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni;
34. wana wa Yasheni Mgiloni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;
35. Ahiamu mwana wa Sharari Mharari, Elifeleti mwana wa Ahasbai; Heferi
36. Mmaakathi, Ahia Mpeloni;