1 Nya. 11:18 Swahili Union Version (SUV)

Basi hao watatu wakapenya jeshi la Wafilisti, wakateka maji kutoka kile kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango, wakayachukua, wakamletea Daudi; walakini Daudi hakukubali kuyanywa, akayamimina mbele za BWANA;

1 Nya. 11

1 Nya. 11:9-22