1 Nya. 11:15 Swahili Union Version (SUV)

Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka mwambani, wakamwendea Daudi, hata pango la Adulamu; na jeshi la Wafilisti walikuwa wamefanya kambi bondeni mwa Warefai.

1 Nya. 11

1 Nya. 11:7-23