1 Nya. 1:2-12 Swahili Union Version (SUV)

2. na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;

3. na Henoko, na Methusela, na Lameki;

4. na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.

5. Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.

6. Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.

7. Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.

8. Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.

9. Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.

10. Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

11. Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

12. na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.

1 Nya. 1