1 Nya. 1:13-26 Swahili Union Version (SUV)

13. Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;

14. na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;

15. na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

16. na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.

17. Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.

18. Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.

19. Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.

20. Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;

21. na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;

22. na Obali, na Abimaeli, na Sheba;

23. na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.

24. Shemu, na Arfaksadi, na Sala;

25. na Eberi, na Pelegi, na Reu;

26. na Serugi, na Nahori, na Tera;

1 Nya. 1