1. Adamu, na Sethi, na Enoshi;
2. na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;
3. na Henoko, na Methusela, na Lameki;
4. na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.
5. Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
6. Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
7. Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.
8. Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
9. Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.
10. Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
11. Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
12. na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.
13. Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;