1 Kor. 9:3-5 Swahili Union Version (SUV)

3. Hilo ndilo jawabu langu kwa wale wanaoniuliza.

4. Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?

5. Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?

1 Kor. 9