1 Kor. 9:25 Swahili Union Version (SUV)

Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo kusudi wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee taji isiyoharibika.

1 Kor. 9

1 Kor. 9:20-27