1 Kor. 9:18 Swahili Union Version (SUV)

Basi thawabu yangu ni nini? Ni hii, ya kuwa nihubiripo, nitaitoa Injili bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.

1 Kor. 9

1 Kor. 9:15-21