1 Kor. 9:15 Swahili Union Version (SUV)

Lakini mimi sikutumia mambo hayo hata moja. Wala siyaandiki hayo ili iwe hivyo kwangu mimi; maana ni heri nife kuliko mtu awaye yote abatilishe huku kujisifu kwangu.

1 Kor. 9

1 Kor. 9:10-25