1 Kor. 9:10 Swahili Union Version (SUV)

Au yamkini anena hayo kwa ajili yetu? Naam, yaliandikwa kwa ajili yetu; kwa kuwa alimaye nafaka ni haki yake kulima kwa matumaini, naye apuraye nafaka ni haki yake kutumaini kupata sehemu yake.

1 Kor. 9

1 Kor. 9:7-17