1 Kor. 7:35 Swahili Union Version (SUV)

Nasema hayo niwafaidie, si kwamba niwategee tanzi, bali kwa ajili ya vile vipendezavyo, tena mpate kumhudumia Bwana pasipo kuvutwa na mambo mengine.

1 Kor. 7

1 Kor. 7:27-40