1 Kor. 7:22 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana yeye aliyeitwa katika Bwana hali ya utumwa, ni huru wa Bwana. Vivyo hivyo yeye naye aliyeitwa hali ya uhuru, ni mtumwa wa Kristo.

1 Kor. 7

1 Kor. 7:20-30