1 Kor. 7:18 Swahili Union Version (SUV)

Je! Mtu fulani ameitwa hali amekwisha kutahiriwa? Asijifanye kana kwamba hakutahiriwa. Mtu fulani ameitwa hali hajatahiriwa bado? Basi asitahiriwe.

1 Kor. 7

1 Kor. 7:17-21