1 Kor. 7:14 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.

1 Kor. 7

1 Kor. 7:13-22