1 Kor. 6:7 Swahili Union Version (SUV)

Basi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyang’anywa mali zenu?

1 Kor. 6

1 Kor. 6:2-10