1 Kor. 6:11 Swahili Union Version (SUV)

Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.

1 Kor. 6

1 Kor. 6:9-20