1 Kor. 4:19-21 Swahili Union Version (SUV)

19. Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu waliojivuna, bali nguvu zao.

20. Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, bali katika nguvu.

21. Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?

1 Kor. 4