1 Kor. 3:18 Swahili Union Version (SUV)

Mtu asijidanganye mwenyewe; kama mtu akijiona kuwa mwenye hekima miongoni mwenu katika dunia hii, na awe mpumbavu, ili apate kuwa mwenye hekima.

1 Kor. 3

1 Kor. 3:16-23