1 Kor. 3:12 Swahili Union Version (SUV)

Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri.

1 Kor. 3

1 Kor. 3:11-18