12. Lakini kwa habari za Apolo, ndugu yetu, nalimsihi sana aende kwenu pamoja na hao ndugu; ambaye si mapenzi yake kwenda sasa; lakini atakuja atakapopata nafasi.
13. Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni kiume, mkawe hodari.
14. Mambo yenu yote na yatendeke katika upendo.