1 Kor. 16:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Lakini kwa habari za Apolo, ndugu yetu, nalimsihi sana aende kwenu pamoja na hao ndugu; ambaye si mapenzi yake kwenda sasa; lakini atakuja atakapopata nafasi.

13. Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni kiume, mkawe hodari.

14. Mambo yenu yote na yatendeke katika upendo.

1 Kor. 16