1 Kor. 15:10 Swahili Union Version (SUV)

Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si bure, bali nalizidi sana kufanya kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali ni neema ya Mungu pamoja nami.

1 Kor. 15

1 Kor. 15:7-17