1 Kor. 14:7 Swahili Union Version (SUV)

Hata vitu visivyo na uhai vitoapo sauti, ikiwa ni filimbi, ikiwa ni kinubi, visipotoa sauti zilizo na tofauti, itatambulikanaje ni wimbo gani unaopigwa kwa filimbi au kwa kinubi?

1 Kor. 14

1 Kor. 14:1-15