1 Kor. 14:30-32 Swahili Union Version (SUV)

30. Lakini mwingine aliyeketi akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.

31. Kwa maana ninyi nyote mwaweza kuhutubu mmoja mmoja, ili wote wapate kujifunza, na wote wafarijiwe.

32. Na roho za manabii huwatii manabii.

1 Kor. 14