1 Kor. 14:26 Swahili Union Version (SUV)

Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.

1 Kor. 14

1 Kor. 14:17-32