1 Kor. 14:21 Swahili Union Version (SUV)

Imeandikwa katika torati, Nitasema na watu hawa kwa watu wa lugha nyingine, na kwa midomo ya wageni, wala hata hivyo hawatanisikia, asema Bwana.

1 Kor. 14

1 Kor. 14:20-27