1 Kor. 14:16 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana wewe ukibariki kwa roho, yeye aketiye katika mahali pa mjinga ataitikaje, Amina, baada ya kushukuru kwako, akiwa hayajui usemayo?

1 Kor. 14

1 Kor. 14:13-18