1 Kor. 13:2 Swahili Union Version (SUV)

Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.

1 Kor. 13

1 Kor. 13:1-12