1 Kor. 12:3 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.

1 Kor. 12

1 Kor. 12:2-7