1 Kor. 11:22 Swahili Union Version (SUV)

Je! Hamna nyumba za kulia na kunywea? Au mnalidharau kanisa la Mungu, na kuwatahayarisha hao wasio na kitu? Niwaambieni? Niwasifu? La! Siwasifu kwa ajili ya hayo.

1 Kor. 11

1 Kor. 11:13-27