1 Kor. 10:33 Swahili Union Version (SUV)

vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa. a.

1 Kor. 10

1 Kor. 10:25-33