1 Kor. 10:20 Swahili Union Version (SUV)

Sivyo, lakini vitu vile wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mashetani.

1 Kor. 10

1 Kor. 10:14-30