1 Fal. 9:5 Swahili Union Version (SUV)

ndipo nitakapokifanya imara kiti cha ufalme wako juu ya Israeli milele; kama nilivyomwahidia Daudi, baba yako, nikisema, Hutakosa kuwa na mtu wa kukaa katika kiti cha enzi cha Israeli.

1 Fal. 9

1 Fal. 9:1-12