1 Fal. 8:66 Swahili Union Version (SUV)

Hata siku ya nane akaagana na watu, nao wakambarikia mfalme, wakaenda hemani kwao, wakifurahi na kuchangamka moyoni kwa wema wote BWANA aliomfanyia Daudi mtumishi wake, na Israeli watu wake.

1 Fal. 8

1 Fal. 8:65-66